Nova Scotia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jump to navigation Jump to search
Nova Scotia

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Kanada Kanada
Mji mkuu Halifax
Tovuti: http://www.gov.ns.ca/
Halifax, Nova Scotia

Nova Scotia (kwa Kilatini. Kwa Kiswahili: Uskoti Mpya; kwa Kiingereza: New Scotland; kwa Kigaeli: Alba nuadh; kwa Kifaransa: Nouvelle-Écosse) ni jimbo la Kanada upande wa mashariki ya nchi. Imepakana na New Brunswick upande wa magharibi, Bahari Atlantiki upande wa mashariki.

Nova Scotia ni jimbo dogo la pili la Kanada. Ni moja kati ya majimbo 3 ya baharini (kwa Kiingereza: Maritime provinces).

Mji mkuu na mji mkubwa ni Halifax.

Jimbo lina wakazi wapatao 939,531 (2009) katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 55,283.

Gavana wa jimbo ni Mayann E. Francis.

Lugha rasmi ni Kiingereza.

Miji Mikubwa[hariri | hariri chanzo]

  1. Halifax (372,679)
  2. Cape Breton (102,250)
  3. Lunenburg (25,164)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Flag Canadian template.gif Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Nova Scotia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.