Montreal

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jump to navigation Jump to search
Montréal

Bendera
Montréal is located in Kanada
Montréal
Montréal
Mahali pa mji wa Montral katika Kanada
Majiranukta: 45°30′00″N 73°40′00″W / 45.5°N 73.666667°W / 45.5; -73.666667
Nchi Kanada
Mkoa Quebec
Wilaya Montreal
Idadi ya wakazi
 - 1,620,693
Tovuti: http://ville.montreal.qc.ca/

Montreal (inaandikwa Montréal kwa Kifaransa) ni mji katika nchi ya Kanada. Ni mji mkubwa wa mkoa wa Quebec na pia wa pili kwa ukubwa katika Kanada nzima. Kuna wakazi zaidi ya milioni nne wanaoishi katika rundiko la mji huo.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Flag Canadian template.gif Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Montreal kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.