Montreal
Jump to navigation
Jump to search
Montréal | |||
|
|||
Mahali pa mji wa Montral katika Kanada | |||
Majiranukta: 45°30′00″N 73°40′00″W / 45.5°N 73.666667°W | |||
Nchi | Kanada | ||
---|---|---|---|
Mkoa | Quebec | ||
Wilaya | Montreal | ||
Idadi ya wakazi | |||
- | 1,620,693 | ||
Tovuti: http://ville.montreal.qc.ca/ |
Montreal (inaandikwa Montréal kwa Kifaransa) ni mji katika nchi ya Kanada. Ni mji mkubwa wa mkoa wa Quebec na pia wa pili kwa ukubwa katika Kanada nzima. Kuna wakazi zaidi ya milioni nne wanaoishi katika rundiko la mji huo.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Picha za satalaiti za Montreal kwenye WikiMapia
- Tovuti rasmi ya Montreal
- Maisha ya Montreal (1840–1945), Picha toka Jumba la Makumbusho la McCord.
- The Atlas of Canada: Montreal, circa 1915
- Bibliothèque Nationale du Québec (Maktaba Kuu ya Quebec): various high-resolution maps, accessible via "Index des toponymes" / "M" / "Montréal (Québec)
- Tovuti rasmi ya utalii ya Quebec
- Montréal toka kwenye The Canadian Encyclopedia
- Montréal travel guide kutoka Wikisafiri
Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Montreal kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |